Back to home

Serikali kulipa faini ya Ksh 25B kwa madeni yaliyosalia

video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mdhibiti wa bajeti margaret nyakango sasa anasema kuwa kukataa kwa serikali kuu kulipa madeni kwa wanakandarasi kumevutia faini kubwa na wakenya watalazimika kulipa faini ya zaidi ya shilingi bilioni 25. Katika ripoti yake, nyakang'o amesema kuwa wizara ya barabara imepata faini ..