Back to home

Maandamano Mandera kufuatia hofu ya usalama na madai ya wapiganaji Jubaland

video
September 4, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa Mandera wanahofia usalama wao kufuatia madai ya kuwasili kwa wanajeshi kutoka eneo jirani la JUBALAND nchini Somalia, katika mji huo wa mpakani. Wakazi wakielezea kushindwa kuendelea na shughuli zao za kila siku kwa kuhofia maisha yao. Hatahivyo, naibu chifu wa eneo la ..