Back to home
Moto mkuu wazuka eneo la Katani Syokimau usiku wa kuamkia leo.
video
C
Citizen TV (Youtube)September 5, 2025
8mo ago
Baadhi ya nyumba za wakaazi ziliteketea kabla ya wazima moto kufika na kuudhibiti
Wakazi walikesha wakikadiria hasara iliyowakumba. Gharama kamili ya vitu vilivyoteketea bado haijabainika kufikia sasa. Uchunguzi zaidi unaendelea ili kutambua kiini cha moto huo.
Advertisement
Advertisement





