Back to home

Mbeere North: UDA wamtangaza Muthende, Kindiki ahamasisha vijana

video
September 6, 2025
4h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Chama cha UDA kimemtangaza mwaniaji wa kiti cha eneo bunge la Mbeere North kwenye uchaguzi mdogo wa mwezi Novemba mwaka huu. Akifanya rasmi uzinduzi huo, naibu kinara wa chama cha UDA ambaye ni naibu rais Profesa Kithure Kindiki aliwahimiza vijana kutoa wazi maoni yao kuhusu uong..