Back to home

Mandera: Maisha yaendelea kawaida licha ya tetesi za majeshi ya Jubaland

video
September 6, 2025
4h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Shughuli za biashara na masomo zinaendelea katika eneo la mandera licha ya tetesi kuhusu kuwepo kwa majeshi ya jubaland au la eneo hilo. Mwanahabari wetu ben kirui amerejea kutoka mandera ambako alizungumza na wakazi pamoja na viongozi wa eneo hilo kuhusu hali ilivyo eneo hilo...