Back to home
Utendakazi wa Serikali: Kindiki apigia debe miradi, akutana na wanawake Laikipia
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2025
6h ago
Naibu rais Profesa Kithure Kindiki, ameendelea kupigia debe utendakazi wa serikali ya Kenya kwanza,na kusema kamwe hatazembea katika kutekeleza majukumu ya kumsaidia RAIS William Ruto,kukamilisha miradi mbalimbali nchini. Kindiki, ameitetea serikali kuwa imefanikisha ujenzi wa m