Back to home
Serikali yaahidi kuwapiga jeki wanamitindo na wabunifu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
5h ago
Katibu katika wizara ya mawasiliano na uchumi wa mitandao John Tanui ametoa hakikisho kwa wanamitindo kuwa serikali itaendelea kuhakikisha wanafaidi katika kazi zao