Back to home
Kikosi cha walengaji 35 wa kimekabidhibiwa bendera ya Taifa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
5h ago
Kikosi cha walengaji shabaha 35 wa Mombasa Rifle club wamekabidhibiwa bendera ya Taifa wanapotarajiwa kuondoka nchi kuelekea Afrika kusini kushiriki mashindano ya dunia yatakayoanza tarehe kumi na sita mwezi huu wa Septemba