Back to home
Wadau wataka mafunzo kabla ya tathmini ya KJSEA
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
6h ago
Wadau wa elimu wanaitaka wizara ya elimu kuhakikisha kuwa zaidi ya wanafunzi milioni moja nukta mbili wa gredi ya tisa wamepata maandalizi ya kutosha kabla ya tathmnini ya mwisho ya sekondari msingi - KJSEA. Wanafunzi hao wanatarajiwa kutathminiwa kuanzia mwisho wa mwezi oktoba i