Back to home

Harambee Stars kupanga mechi za kirafiki

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 10, 2025
4h ago
Kocha wa timu ya taifa ya kenya harambee stars Benni Mc Carthy amesema baada ya kuwa hawana nafasi ya kufuzu kombe la dunia 2026, watajaribu kufanya kila wawezalo kuiweka timu pamoja ikiwemo mechi za kirafiki. Aliyasema hayo baada ya kuinyeshea ushelisheli mvua ya mabao matano kw