Back to home
Viongozi wa dini wataka juhudi zaidi kupitia uongozi wa Rais Ruto
video
C
Citizen TV (Youtube)September 13, 2025
2h ago
Viongozi wa makanisa kutoka maeneo mbalimbali wametaja swala la ufisadi, changamoto katika sekta ya Afya na atiati katika sekta elimu kama baadhi ya masuala yanayotia doa uongozi wa Rais William Ruto, miaka mitatu baadaye.Viongozi hao wamemtaka Rais kuwajibikia changamoto zilizok