Back to home

KCB watawazwa mabingwa wa raga 2025 baada ya kuibwaga Kabras Kisumu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 14, 2025
3h ago
Kcb RFC wameendeleza kukoleza wino wa jina lake kwenye raga nchini baada ya kunyakuwa ubingwa wa msururu wa raga ya wachezaji saba mwaka 2025 ikiwa timu yenye rekodi kubwa zaidi katika miaka 26 ya mchuano huo.