Back to home

Maafisa wa kliniki wataka wahudumu wa afya wa UHC kupewa mkataba wa kudumu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 15, 2025
4h ago
Miungano ya maafisa wa kliniki nchini imeendelea kusisistiza umuhimu wa kupewa mkataba wa kudumu kwa wahudumu wa afya wa UHC huku wakitaka serikali za kaunti kuwajibika kama walivyoagizwa na wizara ya afya. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ever