Back to home
Faith alishinda dhahabu kwenye mbio za mita 1,500 huko Tokyo
video
C
Citizen TV (Youtube)September 17, 2025
2h ago
Mkenya Faith Kipyegon aliendeleza ubabe wake wa riadha na kuipa Kenya dhahabu kwenye mbio za mita 1,500 baada ya kushinda ubingwa wake wa nne kwenye mashindano ya dunia jijini Tokyo, Japan. Kipyegon alimuongoza mkenya mwengine Dorcus Ewoi aliyemaliza wa pili na kufikisha medali z