Back to home

Chama cha PAVRISK kimetoa shilingi 24m kama mrahaba kwa wasanii nchini

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2025
2h ago
Chama cha haki za kutazama na kusikiza muziki na utendaji nchini Kenya PAVRISK chini ya mwemyekiti wa bodi ya chama hicho Edwardo Waigwa hivi leo kimetoa shilingi millioni 24 kama mrahaba kwa wasanii nchini.