Back to home

Maswali kuzuka kufuatia kifo cha mzuiliwa kituo cha polisi Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 21, 2025
2h ago
Maswali yameibuka kuhusiana na kifo cha mtu mmoja aliyefariki baada ya kuripotiwa kuzuiliwa katika kituo cha polisi cha Central mjini Mombasa. Familia ya Simon Warui inadai kuwa jamaa yao alitoweka jumapili kabla ya kufahamishwa kuwa alikuwa amezuiliwa katika kituo hicho cha poli