Back to home

Raila awaonya wabunge wa ODM kuhusu urais 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 22, 2025
2h ago
Kinara wa odm raila odinga sasa anasema chama hicho hakijatoa mwelekeo kuhusu kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027, akiwataka wanachama wanoeneza uvumi kwamba haitakuwa na mgombea kukoma. Akizungumza alipoandaa kikao na wabunge wa odm, odinga pia aliwasuta baadhi