Back to home
Maafisa 11 wa polisi wakamatwa kwa wizi wa kimabavu Kiambu na Maseno
video
C
Citizen TV (Youtube)September 23, 2025
3h ago
Maafisa 11 wa polisi wamekamatwa katika kipindi cha siku mbili kwa madai ya kuhusika wizi wa kimabavu katika maeneo tofauti nchini. Polisi wanwazuilia maafisa watatu wa dci, kiamumbi kaunti ya kiambu na wengine wanane wanaodaiw akuiba gari katika kituo cha polisi cha maseno.