Back to home

Rais Ruto ashinikiza ufadhili wa miradi endelevu ya kawi safi katika mataifa ya bara Africa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 25, 2025
1h ago
Rais William Ruto amesema kuwa mataifa ya bara Africa yanafaa kufanya kipaumbele shinikizo la ufadhili wamiradi endelevu ya kawi safi barani akizungumza pembezoni kwa kongamano la umoja wa mataifa la marais linaloendelea jijini Newyork, Marekani , Rais Ruto amesema kuwa uhifadhi