Back to home

IEBC kuanza kuwasajili wapiga kura wapya Jumatatu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 25, 2025
1h ago
Tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC itaanza zoezi la kuwasajili wapigakura wapya jumatatu ijayo. wakizungumza kwenye kikao na kamati ya bunge kuhusu utekelezaji wa katiba, makamishna hao wameeleza kuwa zoezi hilo halitafanyika kwenye maeneo yenye chaguzi ndogo hadi chaguzi hizo