Back to home

Walimu wakataa kujilipia matibabu kupitia bima ya SHA

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 25, 2025
2h ago
Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini KNUT, kimepuuza agizo la serikali la kutaka walimu wote kugharamia matibabu yao kupitia bima ya afya ya SHA. Viongozi wa KNUT wakidai mamlaka ya SHA imeshindwa kulipa gharama za matibabu kupitia bima ya kitaifa. Katibu wa chama cha KNUT