Back to home
Serikali yakosolewa kuhusu taarifa za kifo cha polisi Kabiru Haiti
video
C
Citizen TV (Youtube)September 25, 2025
2h ago
Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen sasa amesema kuwa familia ya afisa aliyeuwawa nchini Haiti imejulishwa kuhusu kifo cha jamaa yao, na kuwa mtafaruku wa taarifa za kifo chake zilizotolewa na Rais William Ruto ulitokana na tofauti ya muda. Haya yanajiri baada ya familia ya afis