Back to home
Kanisa la Kianglikana yataka serikali kusuluhisha mzozo wa bima ya SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Kanisa la Kianglikana nchini sasa linaitaka serikali kushughulikia kwa dharura mvutano unaoikumba bima ya afya ya sha pamoja na msukosuko katika sekta ya elimu. Makanisa yakiilaumu serikali kwa kucheza karata na maswala muhimu yanayowahusu wakenya. Makanisa yakizungumza haya huku