Back to home
Wakandarasi watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati uliopangwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Serikali imewataka wakandarasi wote waliopewa zabuni za miradi ya ujenzi wa barabara kote nchini kuhakikisha wanatimiza masharti ya kandarasi zao ndani ya muda uliopangwa, la sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.