Back to home

Walemavu eneo la Kaskazini Mashariki wataka wahusishwe kwenye masuala ya uongozi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
1h ago
Viongozi wa jumuiya ya walemavu katika Kaunti ya Wajir wanaitaka serikali kuongeza uwakilishi wao katika nafasi za ajira na siasa. Akizungumza katika kikao na Jumuiya ya walemavu, Mwenyekiti wa walemavu wa kaskazini ya kenya Hafid Maalim brahim, alilalamikia ukosefu wa wakalimani