Back to home
Gavana wa Kakamega akosoa matamshi ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta
video
C
Citizen TV (Youtube)September 29, 2025
2h ago
Gavana wa Kakamega, Fernandes Barasa, amepuuza matamshi ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwamba serikali ya kenya kwanza inaporomosha mafanikio yaliyopatikana wakati wa utawala wake. Akizungumza katika Kanisa Katoliki la Bumamu huko Navakholo, Barasa alisema kwamba Kaunti ya Kakame