Back to home

Magavana waishinikiza serikali kutoa mgao wa fedha za Septemba, walaumu mfumo wa mgao wa kidijitali

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Magavana sasa wanaitaka serikali kuu kuwapa mgao wao wa fedha wa mwezi Septemba pamoja na pesa nyingine ambazo hawajapokea hadi sasa. Magavana hawa aidha wametetea msimamo wao kuhusu ununuzi wa kidijitali wakisema mfumo huo umefeli na sasa kaunti zimekwama tangu uanzishwe miezi m