Back to home
Kindiki asifia juhudi za kutwaa silaha haramu eneo la Bonde la Kerio
video
C
Citizen TV (Youtube)October 4, 2025
2h ago
Serikali sasa imesema kuwa juhudi za kutwaa silaha haramu kutoka kwa wananchi wa kaskazini mwa bonde la ufa zimeanza kuzaa matunda. Naibu Rais Kithure Kindiki na Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen, wamesema kufikia sasa zaidi ya bundiki 280 zimerejeshwa katika kaunti ya Elgeyo