Back to home

Mila ya kurahisisha meno katika jamii ya Ukambani yaibua taharuki baada ya vifo vya watoto Makueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 5, 2025
2h ago
Tamaduni ya kurahisisha watoto wachanga kuota meno katika jamii ya ukambani imetajwa kuendelea kusababisha maafa miongoni mwa watoto. Katika kaunti ya Makueni, ripoti za madhara zimeendelea kuripotiwa huku hata watoto wengine wachanga wakifariki baada ya kukatwa fizi