Back to home
ODM yashutumu upinzani kwa matamshi kuhusu afya ya Raila
video
C
Citizen TV (Youtube)October 7, 2025
2h ago
Viongozi wa chama cha ODM wamewashutumu vikali viongozi wa upinzani kufuatia matamshi yao hapo jana kuhusu afya ya kinara wa chama hicho Raila Odinga. Viongozi hao wakiwemo manaibu vinara wa ODM Abdulswamad Sharrif Nassir, Godfrey Osotsi na katibu mkuu wa chama hicho Edwin Sifuna