Back to home
Wachapishaji vitabu watangaza hatari ya vitabu vya gredi ya kumi kucheleweshwa
video
C
Citizen TV (Youtube)October 8, 2025
2h ago
Muungano wa wachapishaji vitabu nchini ulitangaza hatari ya kucheleweshwa kwa uchapishaji na usambazaji wa vitabu vya gredi ya kumi. Wasiwasi wao unatokana na deni la shilingi bilioni 11.4 wanalodai serikali. Wachapishaji hao wanapaswa kuanza kutayarisha jumla ya nakala milioni s