Back to home
Wakulima wa mahindi wanakadiria hasara Trans Nzoia kutokana na mvua inayoendelea kunyesha
video
C
Citizen TV (Youtube)October 8, 2025
2h ago
Wakulima wa mahindi katika maeneo tofauti wanakadiria hasara kubwa kutokana na mvua inayoendelea kunyesha katika sehemu nyingi humu nchini. Hali hiyo imesababisha mavuno kuozea mashambani huku wakulima wakisalia kutazama jasho lao likiambulia patupu. Na Kama anavyoarifu Collins S