Back to home
Familia ya Busia yadai mwanajeshi mstaafu wa KDF kupotea baada ya safari ya ajira Urusi
video
C
Citizen TV (Youtube)October 8, 2025
2h ago
Siku chache baada ya tetesi za ulanguzi wa binadamu kwa ahadi ya ajira nchini Urusi kuibuka, familia moja kaunti ya busia imejitokeza kuhusu kupotea kwa jamaa yao. Familia hiyo inasema mwanawao, ambaye ni mwanajeshi wa zamani wa KDF, aliondoka nyumbani mwezi mei mwaka huu kueleke