Back to home
Wagombea watatu waliidhinishwa na tume ya IEBC jana katika uchaguzi udiwani Purko Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)October 9, 2025
3h ago
Tume Huru ya Uchaguzi na uratibu wa Mipaka IEBC imewaidhinisha wagombea watatu kuwania Kiti cha Mwakilishi wadi katika wadi ya Purko Kaunti ya Kajiado kwenye uchaguzi mdogo ambao utaandaliwa tarehe 27 mwezi ujao. Wagombea walioidhinishwa ni Amos Mpusia wa UDA, Daniel Naikuni wa