Back to home
Ruto atoa wito wa kuondoa visa kanda ya Afrika mashariki na kusini ili kukuza biashara
video
C
Citizen TV (Youtube)October 9, 2025
4h ago
Rais William Ruto ametoa wito kwa Mataifa ya Afrika Mashariki na Kusini, kuondoa VISA za usafiri kati yao ili kuboresha uchumi. Akizungumza katika kikao cha Marais wanachama wa COMESA jijini Nairobi, rais Ruto ambaye alichukua rasmi uongozi wa Jumuia hiyo, amesema ushuru wa juu n