Back to home

Serikali kuongeza pesa za kukabiliana na magonjwa ya akili

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 10, 2025
4h ago
Waziri wa afya Aden Duale amewahakikishia wakenya kwamba serikali imeweka mipango ya afya ya akili katika ajenda yake ya afya ya kitaifa ili kuhakikisha hali sahihi ya akili zao katika maisha yao ya kila siku.