Back to home
Viongozi wa jamii wawataka wakazi kuishi kwa amani Isinya
video
C
Citizen TV (Youtube)October 10, 2025
5h ago
Siku moja baada ya makabiliano makali kuzuka baina jamii zinazoishi katika Mji wa Isinya Kaunti ya Kajiado, Viongozi wa Jamii mbali mbali zinazoishi Kajiado Mashariki wametoa wito kwa wakazi wa Isinya Kusitisha uhasama na kuishi kwa Amani.