Back to home

Katibu Mary Muthoni asema ni jukumu la kila mkenya kuhakikisha usafi wa wanakoishi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 10, 2025
5h ago
Ni jukumu la kila mkenya kuhakikisha usafi wa wanakoishi na mazingira walioko. Ndio mwito wa katibu wa afya Mary Muthoni, ambaye anasema usafi wa mazingira unachangia pakubwa juhudi za kupambana na magonjwa yanayoletwa na uchafu . Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Ke