Back to home

Waziri wa ulinzi azindua zoezi la usajili wa makurutu wa jeshi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 13, 2025
3h ago
Usajili wa makurutu wa jeshi kuu la kenya umeanza hii leo katika kaunti zote 47. Akizindua zoezi hilo waziri wa ulinzi soipan tuya amesisitiza kuwepo kwa haki katika zoezi hili huku vitengo kutoka dci pamoja na eacc vikifuatilia zoezi hili ili kutibua jaribio lolote la ufisadi. Z