Back to home
Mahakama kuu Uganda yaagiza serikali kuwawasilisha wanaharakati wawili wa Kenya waliootekwa Kampala
video
C
Citizen TV (Youtube)October 14, 2025
4h ago
Mahakama kuu ya Uganda imetoa agizo kwa serikali ya uganda kuwawasilisha wanaharakati wa Kenya Bob Njagi na Nicholas Oyoo chini ya siku saba baada ya kutoweka kwao jijini Kampala wiki mbili zilizopita. Haya yamejiri huku kinara wa PLP Martha Karua akishinikiza serikali kuhakikish