Back to home

Rais Ruto atangaza siku saba za maombolezi ya kitaifa kufuatia kifo cha Raila Odinga

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 15, 2025
2h ago
Rais William Ruto ametangaza siku saba za maombolezi ya kitaifa kufuatia kifo cha waziri mkuu wa zamani na kinara wa ODM Raila Odinga. Kwenye kikao kutoka ikulu ya Nairobi, rais amemtaja Raila kama kiongozi aliyepigania kenya pakubwa akimtaja kama mzalendo. Rais pia akisema bende