Back to home

Viongozi wa dunia waungana na Wakenya kumuomboleza Raila wakimtaja kama nguzo ya demokrasia Kenya

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 15, 2025
2h ago
Viongozi mbalimbali wa ulimwengu wameungana na Wakenya kumuomboleza Waziri Mkuu wa zamani na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga. Viongozi wa dunia wamemtaja marehemu Odinga kama nguzo kuu ya demokrasia na mfano wa kujitolea, wakimwelezea kama kiongozi aliyeweka maslahi ya taifa juu ya