Back to home
Maelfu wamiminika Karen kumuomboleza Raila Odinga baada ya taarifa za kifo chake kusambaa.
video
C
Citizen TV (Youtube)October 15, 2025
2h ago
Wakenya walimiminika Nyumbani kwa marehemu kinara wa ODM Raila ODinga katika eneo la Kerarapon mtaani Karen baada ya Taarifu za kifo chake kusambaa. Maelfu ya Wakenya walipiga Kambi Nyumbani kwake kumuomboleza Raila huku wengi wakisea wamepoteza mwanga katika uongozi wa nchi na K