Back to home

Shughuli ya kutazama mwili wa Raila Odinga bungeni yasitishwa baada ya umati kuvamia eneo hilo.

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 16, 2025
2h ago
Shughuli ya Kuutazama Mwili wa marehemu Raila Odinga iliyokuwa imepangwa kufanyika katika majengo ya Bunge ilisitishwa mapema leo, baada ya umati mkubwa wa waombolezaji kujitokeza. Umati huu wa wakenya ukionekana kupuuza taratibu za kusubiri kutazama mwili huo na kujaribu kuingia