Back to home
Umati mkubwa wapokea mwili wa Raila Odinga JKIA
video
C
Citizen TV (Youtube)October 16, 2025
2h ago
Umati mkubwa uliwasili katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kupokea mwili wa mwendazake Raila Odinga. Umati huo baadaye ukifuata msafara wa marehemu Raila Odinga hadi katika uwanja wa Kasarani, ambapo mwili wake ulitazamwa na umma