Back to home

Eneo la kutazama mwili wa Raila Odinga Kisumu labadilishwa hadi uwanja wa Jomo Kenyatta wa Mamboleo.

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 16, 2025
2h ago
Ukumbi wa kutazama mwili wa aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga huko Kisumu umebadilishwa kuwa uwanja wa Jomo Kenyatta wa Mamboleo siku ya Jumamosi