Back to home

Familia za waliopigwa risasi wakati wa mvutano na maafisa wa polisi Kasarani wanadai haki itendeke

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 17, 2025
22h ago
Familia za waliopigwa risasi wakati wa mvutano na maafisa wa polisi uliotokea katika uwanja wa Moi International Sports Center Kasarani Alhamisi wanadai haki itendeke. Vincent Otieno Ogutu na Evans Kiche, ni miongoni mwa watu watatu ambao kufikia sasa wameripotiwa kufariki. Famil