Back to home

Kumbukumbu za maisha ya hayati Raila Odinga ya utotoni katika mtaa wa Jerusalem

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 18, 2025
12h ago
Kifo cha aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga kimefufua kumbukumbu za maisha yake ya utotoni katika mtaa wa Jerusalem eneo la Eastlands Nairobi ambapo babake, Jaramogi Oginga Odinga, aliishi kabla ya kenya kujinyakulia Uhuru. Wakazi wanamkumbuka kwa upendo Raila alipokuwa mdogo aki