Back to home

Wandani wa zamani wa Raila wamkumbuka kwa ukomavu na ushupavu wake wa siasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 19, 2025
4h ago
Miongoni mwa viongozi waliomkumbuka Raila Odinga walipompa mkono wa buriani kwenye mazishi ya leo ni wandani wake wa zamani wa kisiasa akiwemo mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi na Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka. Waliozungumza wakionyesha ushupavu na ukomavu wa Raila kwenye siasa