Back to home
Amnesty International yaelezea wasiwasi kuhusu uhuru na uwazi wa uchaguzi nchini Tanzania
video
C
Citizen TV (Youtube)October 20, 2025
3h ago
Shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International linaelezea wasiwasi kuhusiana na uhuru na uhaki wa uchaguzi mkuu nchini Tanzania, chini ya siku kumi kabla ya uchaguzi huo kufanyika. Shirika hili haswa likielezea kusikitishwa na ukiukaji wa haki za kibinaadamu hususan kw